1 Kings 8:10-11
10
Makuhani walipoondoka katika Mahali Patakatifu, wingu likajaza Hekalu la
Bwana
.
11
Nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa
Bwana
ulijaza Hekalu lake.
Copyright information for
SwhKC